Deuteronomy 9:23

23 aVilevile wakati Bwana alipowatuma kutoka Kadesh-Barnea, alisema, “Kweeni, mkaimiliki nchi ambayo nimewapa.” Lakini mliasi dhidi ya agizo la Bwana Mwenyezi Mungu wenu. Hamkumtegemea wala kumtii.
Copyright information for SwhKC